Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on May 7, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fadhila (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on April 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on April 4, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 27, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on February 21, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on February 11, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nancy Akumu (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 26, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Awino (Guest) on December 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on November 14, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 6, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on September 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on August 13, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daudi (Guest) on August 3, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on July 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Sokoine (Guest) on July 12, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 8, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shani (Guest) on April 10, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nyamweya (Guest) on March 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mary Kidata (Guest) on February 17, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on January 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joseph Njoroge (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nyota (Guest) on December 20, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zakaria (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Husna (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 18, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on September 1, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mallya (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on June 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on June 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 9, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Monica Adhiambo (Guest) on April 30, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More