Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on August 12, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on July 30, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Lowassa (Guest) on July 17, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 28, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on May 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Sharifa (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mbise (Guest) on April 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on April 16, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Aziza (Guest) on March 13, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Hellen Nduta (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Kimario (Guest) on January 23, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Kamau (Guest) on December 1, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on November 25, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Lowassa (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Tambwe (Guest) on November 3, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Kevin Maina (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on September 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on September 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on August 24, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joy Wacera (Guest) on June 16, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on April 10, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 29, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on March 3, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on February 26, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on February 22, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on February 20, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on February 16, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on December 13, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

David Ochieng (Guest) on November 27, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on October 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

George Mallya (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mbithe (Guest) on August 16, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on July 10, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Faiza (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

James Kawawa (Guest) on April 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on April 2, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More