Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ changamkia fulsa umri ukifika

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on April 26, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on April 17, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 27, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mrope (Guest) on March 26, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on February 27, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on February 20, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Habiba (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on January 26, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 12, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on November 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 9, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Carol Nyakio (Guest) on November 7, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 26, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on September 22, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Malela (Guest) on July 31, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on July 5, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Faith Kariuki (Guest) on May 31, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rehema (Guest) on May 22, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Achieng (Guest) on March 14, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on January 9, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Mchome (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 5, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on September 12, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Henry Mollel (Guest) on August 26, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Omari (Guest) on August 6, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mariam Hassan (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mutheu (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Frank Macha (Guest) on July 16, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 16, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Masika (Guest) on June 16, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on May 31, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on May 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Rahim (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Irene Makena (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Zakaria (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More