Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Lowassa (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Zainab (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joy Wacera (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

George Tenga (Guest) on August 3, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on August 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on June 18, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on May 28, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 18, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mrope (Guest) on April 16, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on March 4, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mwanakhamis (Guest) on February 25, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Asha (Guest) on February 1, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on January 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 24, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Kimaro (Guest) on December 4, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 28, 2016

😊🀣πŸ”₯

Rose Kiwanga (Guest) on November 24, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on November 4, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on October 23, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on September 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on September 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanakhamis (Guest) on July 29, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on July 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on May 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on May 8, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 2, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Kamande (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on March 22, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Nyerere (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Khadija (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Malima (Guest) on February 22, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Frank Sokoine (Guest) on February 6, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Mbise (Guest) on January 31, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on January 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Aziza (Guest) on December 2, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on November 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Amani (Guest) on November 1, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

David Ochieng (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mhina (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Mduma (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Warda (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Michael Onyango (Guest) on June 18, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on June 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More