Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nuru (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Maimuna (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on March 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Mrope (Guest) on January 20, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mgeni (Guest) on January 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 23, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on November 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on August 20, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jamal (Guest) on July 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on May 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 7, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 4, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2016

🀣πŸ”₯😊

Stephen Amollo (Guest) on March 20, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 3, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on December 13, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on November 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joyce Mussa (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on October 18, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Otieno (Guest) on September 13, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 23, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on July 3, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kazija (Guest) on June 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sekela (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More