Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

Featured Image
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!!

2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie.

3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.

4. Kutapika ndani ndani ya Daladala fain 250/= ,ukijamba pia 250/= ,Sasa jamba tukujue viti vina alarm!…

5.Hatujasema wewe ni Mnene ila Ukikalia SITI mbili Lipia….

6. Hio Elfu kumi yako nenda nunua avocado upake alafu uteleze hadi posta ,nauli ya daladala ni 350/=.

7. usifungue dirisha ungetaka upepo ungepanda pikipiki..

8. wewe Dada hebu sogea hukoo, Unaringa nini wakati asubuhi hii umeoga na sabuni ya kuoshea vyombo…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on May 30, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 11, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Aziza (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Omari (Guest) on April 18, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Malima (Guest) on March 22, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 19, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Samuel Omondi (Guest) on December 31, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on December 27, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mariam Hassan (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Omari (Guest) on December 19, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on September 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 22, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kamau (Guest) on July 31, 2016

Asante Ackyshine

Ali (Guest) on July 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 25, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on May 3, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on April 13, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on April 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on March 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 16, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joy Wacera (Guest) on February 25, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

James Kimani (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on January 26, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Michael Mboya (Guest) on January 24, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on December 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 13, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on November 7, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nahida (Guest) on October 1, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on September 2, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on August 6, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on July 31, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ann Awino (Guest) on July 30, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alice Mrema (Guest) on July 25, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on July 24, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Latifa (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on June 2, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Nyerere (Guest) on May 23, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ahmed (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Lissu (Guest) on May 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More