Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mallya (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on April 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on March 16, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 6, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 12, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Kenneth Murithi (Guest) on January 6, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on October 28, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on October 15, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on August 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwalimu (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on July 11, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Baraka (Guest) on June 17, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Samuel Were (Guest) on June 7, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on April 4, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on March 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Akinyi (Guest) on March 17, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lucy Wangui (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 20, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on January 23, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jamila (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Lowassa (Guest) on January 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on December 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Warda (Guest) on December 12, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Chris Okello (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on November 11, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Chacha (Guest) on October 23, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on October 18, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Mahiga (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Rubea (Guest) on September 4, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rehema (Guest) on July 29, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Mbise (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Aoko (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 4, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on May 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More