Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mallya (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on April 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on March 16, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 6, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 12, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Kenneth Murithi (Guest) on January 6, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on October 28, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on October 15, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on August 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwalimu (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on July 11, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Baraka (Guest) on June 17, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Samuel Were (Guest) on June 7, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on April 4, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on March 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Akinyi (Guest) on March 17, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lucy Wangui (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 20, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on January 23, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jamila (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Lowassa (Guest) on January 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on December 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Warda (Guest) on December 12, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Chris Okello (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on November 11, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Chacha (Guest) on October 23, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on October 18, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Mahiga (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Rubea (Guest) on September 4, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rehema (Guest) on July 29, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Mbise (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Aoko (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 4, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on May 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More