Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Christopher Oloo (Guest) on March 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wande (Guest) on February 16, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Amani (Guest) on February 1, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nashon (Guest) on January 21, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Sarah Mbise (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on November 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Sumari (Guest) on August 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 27, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on July 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on July 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Anna Sumari (Guest) on July 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Maida (Guest) on June 14, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mercy Atieno (Guest) on May 31, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rehema (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mutheu (Guest) on March 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on March 11, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sekela (Guest) on January 29, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Wanjala (Guest) on December 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Ndunguru (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 21, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on October 30, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdullah (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwagonda (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ann Wambui (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Andrew Mchome (Guest) on October 16, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Shabani (Guest) on September 28, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Fadhili (Guest) on September 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Kimario (Guest) on September 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on August 25, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Njuguna (Guest) on August 22, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Betty Kimaro (Guest) on August 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Fikiri (Guest) on August 18, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mary Njeri (Guest) on July 31, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 19, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Shamsa (Guest) on June 17, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 28, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hamida (Guest) on March 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chris Okello (Guest) on March 6, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Kamande (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on November 29, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nyota (Guest) on September 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwanahawa (Guest) on September 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More