Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on March 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wande (Guest) on February 16, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Amani (Guest) on February 1, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nashon (Guest) on January 21, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Sarah Mbise (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on November 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Sumari (Guest) on August 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 27, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on July 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on July 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Anna Sumari (Guest) on July 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Maida (Guest) on June 14, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mercy Atieno (Guest) on May 31, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rehema (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mutheu (Guest) on March 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on March 11, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sekela (Guest) on January 29, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Wanjala (Guest) on December 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Ndunguru (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 21, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on October 30, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdullah (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwagonda (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ann Wambui (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Andrew Mchome (Guest) on October 16, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Shabani (Guest) on September 28, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Fadhili (Guest) on September 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Kimario (Guest) on September 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on August 25, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Njuguna (Guest) on August 22, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Betty Kimaro (Guest) on August 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Fikiri (Guest) on August 18, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mary Njeri (Guest) on July 31, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 19, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Shamsa (Guest) on June 17, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 28, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hamida (Guest) on March 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More