Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Featured Image

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari Yangu aina ya BMW mpya Mara gafla ikakwama kwenye tope .hivyo ikabidi nishuke ili kuisukuma loh! Yani kudadeki ile kuamka nikakuta nimesukuma kitanda hadi sebleni Daaa ilinisikitisha sana jiangalie sana sese hivi ndio narudisha kitanda chumbani .angalizo angalia ndoto unazo ota unaweza kuota upo baharini ukaamka unajikukuta unaogelea kwenye Jaba la Maji shauri yako.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on October 16, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Monica Lissu (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Mrope (Guest) on October 13, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on October 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on September 24, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Monica Adhiambo (Guest) on September 3, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 22, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on July 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Azima (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jane Malecela (Guest) on May 28, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on April 18, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on April 8, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on April 5, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Zubeida (Guest) on April 5, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on February 2, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Shani (Guest) on January 17, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 16, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on January 13, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jacob Kiplangat (Guest) on December 26, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on December 7, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on December 1, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on November 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shabani (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Sokoine (Guest) on October 9, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Wande (Guest) on September 30, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Shamim (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yusuf (Guest) on August 26, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on August 23, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 29, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anthony Kariuki (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on May 22, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on May 14, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on May 4, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Daudi (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on March 9, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on January 9, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Lowassa (Guest) on November 9, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Mussa (Guest) on October 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nchi (Guest) on September 15, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Elizabeth Malima (Guest) on September 13, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on September 1, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on August 21, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on July 22, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on June 27, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Mwalimu (Guest) on May 13, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Moses Mwita (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 13, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Lowassa (Guest) on April 11, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More