Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mzee (Guest) on July 22, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on June 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 7, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Njeru (Guest) on May 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rahim (Guest) on February 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sekela (Guest) on December 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on December 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on November 27, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwajabu (Guest) on November 15, 2016

Asante Ackyshine

Charles Mchome (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 11, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on August 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 11, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 16, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on April 26, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on April 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 24, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on February 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on December 18, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fadhila (Guest) on December 15, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mrema (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Kawawa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Zuhura (Guest) on October 30, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khamis (Guest) on July 11, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2015

🀣πŸ”₯😊

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nyota (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tambwe (Guest) on April 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Minja (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 2, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Related Posts

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More