Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Kibwana (Guest) on April 17, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Malima (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Mrope (Guest) on April 6, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on April 5, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanajuma (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Josephine Nduta (Guest) on March 3, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Farida (Guest) on March 2, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on February 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on February 11, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rukia (Guest) on January 10, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Zawadi (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Sumari (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Monica Adhiambo (Guest) on November 2, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Zawadi (Guest) on October 18, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on September 24, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on September 2, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on August 24, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 21, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Richard Mulwa (Guest) on August 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Patrick Mutua (Guest) on July 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mzee (Guest) on June 5, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on June 3, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 21, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on May 17, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Ochieng (Guest) on May 5, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Frank Macha (Guest) on April 29, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on March 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on February 11, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 24, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Mwikali (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Halima (Guest) on October 18, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Nyerere (Guest) on September 4, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on September 4, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on August 19, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Simon Kiprono (Guest) on July 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on July 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on July 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on July 23, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Macha (Guest) on July 6, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on June 30, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on May 15, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edwin Ndambuki (Guest) on April 29, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Philip Nyaga (Guest) on April 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More