Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on January 3, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

David Sokoine (Guest) on October 15, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on October 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on September 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdillah (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Nassar (Guest) on August 10, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Wambui (Guest) on July 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on July 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 29, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on May 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Amani (Guest) on May 13, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on May 4, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Otieno (Guest) on April 14, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 31, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Baraka (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Majid (Guest) on January 2, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on December 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ahmed (Guest) on November 18, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Umi (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Shamsa (Guest) on November 7, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on October 7, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Amir (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on September 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 14, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 24, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bakari (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Zubeida (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 12, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on July 13, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mbithe (Guest) on July 7, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alice Mrema (Guest) on June 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kassim (Guest) on May 11, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shamim (Guest) on April 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on April 8, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More