Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anywe
WATU :Β Ha! Ha! Ha! Haaaa!
JAMAA :Β Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wake
WATU:Β Watu weweeee! Tena safari hii Na makofi juu..
JAMAA :Β Mhudumu, nipe bili na kila mtu mpe yake maana ninapolipa bili napenda kuona kila mtu analipa yake
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Malima (Guest) on June 28, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Josephine (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on May 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on May 5, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jabir (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Anna Mchome (Guest) on March 19, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on January 25, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on January 13, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 7, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on January 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Malisa (Guest) on December 28, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mtumwa (Guest) on December 27, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joyce Nkya (Guest) on December 25, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 23, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on December 21, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on December 19, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on November 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on November 1, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on October 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 16, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on September 16, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on September 13, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on August 14, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on August 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Nyerere (Guest) on August 1, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on July 5, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Njeri (Guest) on June 17, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on May 14, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rukia (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on April 24, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Baraka (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mboje (Guest) on March 24, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on March 22, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 18, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on March 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Otieno (Guest) on February 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwanaisha (Guest) on February 16, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Fadhili (Guest) on February 15, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Robert Okello (Guest) on February 13, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on February 11, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mercy Atieno (Guest) on January 19, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 3, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mutheu (Guest) on December 27, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on December 3, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on November 29, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on August 23, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on July 27, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maulid (Guest) on July 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Paul Ndomba (Guest) on June 21, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

David Kawawa (Guest) on June 10, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Warda (Guest) on May 22, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joyce Aoko (Guest) on May 19, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 23, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More