Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Susan Wangari (Guest) on August 16, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on July 10, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on May 12, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on March 24, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on March 12, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rukia (Guest) on March 4, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Stephen Mushi (Guest) on March 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on January 30, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hassan (Guest) on January 22, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Otieno (Guest) on December 16, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Joseph Kawawa (Guest) on December 15, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on December 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwanaisha (Guest) on November 17, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Janet Wambura (Guest) on November 9, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Zuhura (Guest) on October 23, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on October 19, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on October 13, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Daniel Obura (Guest) on September 14, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mwanajuma (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Daniel Obura (Guest) on September 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on August 31, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Issack (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Lowassa (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 2, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on July 17, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Chum (Guest) on July 10, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Martin Otieno (Guest) on July 3, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on July 3, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mwangi (Guest) on June 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on June 12, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on May 25, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on May 19, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on May 10, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Halima (Guest) on April 26, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Asha (Guest) on March 26, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Zakia (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on November 12, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 30, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Maimuna (Guest) on October 30, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on October 12, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on September 3, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on August 29, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Linda Karimi (Guest) on August 3, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 23, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mwalimu (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mutheu (Guest) on April 19, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More