Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Staili nyingine za michepuko ni shida

Featured Image

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?

MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. …… Akafunga mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo ng'oo
SIPENDI UJINGA MM nikiwa na my love pr

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nora Kidata (Guest) on May 31, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wande (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Violet Mumo (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

George Ndungu (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on April 7, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on March 24, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on March 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on March 13, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kahina (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on February 21, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Safiya (Guest) on February 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mhina (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 9, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mgeni (Guest) on December 28, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on December 6, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on November 21, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on October 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Zulekha (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on September 29, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Francis Njeru (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Saidi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on July 19, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Chris Okello (Guest) on June 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Daudi (Guest) on June 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on May 22, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on May 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Ndungu (Guest) on March 21, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on February 21, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mrope (Guest) on February 18, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Athumani (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kitine (Guest) on January 15, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on January 8, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Patrick Mutua (Guest) on January 3, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on September 6, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Joyce Mussa (Guest) on August 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on August 21, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Benjamin Kibicho (Guest) on July 5, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Asha (Guest) on May 12, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on May 5, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rashid (Guest) on April 15, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anthony Kariuki (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More