Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Wanjiru (Guest) on October 15, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on October 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on September 26, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 14, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on August 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rubea (Guest) on July 10, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Warda (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on April 27, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Ndunguru (Guest) on April 19, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 17, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanajuma (Guest) on March 19, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 11, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nchi (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Janet Sumaye (Guest) on February 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Ndungu (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Yusra (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Jebet (Guest) on December 2, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Anyango (Guest) on October 25, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 30, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on August 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Waithera (Guest) on August 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on July 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rukia (Guest) on June 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 8, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Kendi (Guest) on April 6, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 10, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wilson Ombati (Guest) on February 21, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Mtangi (Guest) on February 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 26, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on November 18, 2015

Asante Ackyshine

Samson Mahiga (Guest) on October 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 16, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Farida (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on July 30, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Amukowa (Guest) on July 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Kawawa (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on April 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mbise (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More