Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Malela (Guest) on October 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on September 26, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 14, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on August 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rubea (Guest) on July 10, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Warda (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on April 27, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Ndunguru (Guest) on April 19, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 17, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanajuma (Guest) on March 19, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 11, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nchi (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Janet Sumaye (Guest) on February 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Ndungu (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Yusra (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Jebet (Guest) on December 2, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Anyango (Guest) on October 25, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 30, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on August 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Waithera (Guest) on August 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on July 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rukia (Guest) on June 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 8, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Kendi (Guest) on April 6, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 10, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wilson Ombati (Guest) on February 21, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Mtangi (Guest) on February 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 26, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on November 18, 2015

Asante Ackyshine

Samson Mahiga (Guest) on October 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 16, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Farida (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on July 30, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Amukowa (Guest) on July 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Kawawa (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on April 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mbise (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More