Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Wanjiku (Guest) on March 22, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Kawawa (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shukuru (Guest) on January 27, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 22, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 27, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on December 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Asha (Guest) on December 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on November 24, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Issack (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Anna Mchome (Guest) on September 18, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Wangui (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on August 16, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on July 28, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on July 10, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 4, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Wilson Ombati (Guest) on May 12, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Grace Majaliwa (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Wangui (Guest) on April 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 20, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Njuguna (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on February 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on February 6, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on February 2, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Farida (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on November 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on November 21, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on November 15, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 14, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Masika (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on August 31, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on August 29, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 15, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 6, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on June 30, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on April 25, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on April 14, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More