Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

MKAKA: Samahani sana….jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simu….aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka USA nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saa…..
MKAKA: Achana na mimi wewe

Ha ha ha ha haaaaa!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Nyerere (Guest) on April 3, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 17, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Khalifa (Guest) on March 13, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on March 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mazrui (Guest) on February 28, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 5, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Chepkoech (Guest) on February 2, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on January 30, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Umi (Guest) on January 24, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on January 19, 2017

🀣πŸ”₯😊

Mercy Atieno (Guest) on December 23, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on November 23, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Abdillah (Guest) on October 2, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on September 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Betty Kimaro (Guest) on September 11, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jaffar (Guest) on September 5, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Kenneth Murithi (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Michael Onyango (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on July 28, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on July 20, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on July 17, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on July 7, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on July 3, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on May 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Majid (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Christopher Oloo (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Sokoine (Guest) on April 17, 2016

😊🀣πŸ”₯

James Kimani (Guest) on April 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on March 19, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on February 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Faiza (Guest) on January 8, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on January 8, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on November 28, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwachumu (Guest) on November 16, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Stephen Kikwete (Guest) on November 15, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on October 31, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Saidi (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Francis Mtangi (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Kamande (Guest) on September 24, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on September 14, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tabu (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 7, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on September 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on August 24, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 7, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on June 28, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on June 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Waithera (Guest) on May 18, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More