Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mahiga (Guest) on August 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 7, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on July 18, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Chiku (Guest) on June 18, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Sofia (Guest) on June 15, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Awino (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Malisa (Guest) on April 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdullah (Guest) on March 9, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 19, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on January 4, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on December 19, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mgeni (Guest) on November 27, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on November 7, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Azima (Guest) on October 29, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Carol Nyakio (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Irene Akoth (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Malima (Guest) on September 10, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on September 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faiza (Guest) on July 15, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Zuhura (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nasra (Guest) on June 21, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Kibona (Guest) on June 6, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Daniel Obura (Guest) on May 25, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on May 7, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Mrope (Guest) on April 27, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Thomas Mtaki (Guest) on March 19, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on March 11, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 3, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on December 17, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on December 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 3, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Ochieng (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on October 23, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on August 29, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samuel Were (Guest) on August 24, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on August 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on August 21, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Monica Nyalandu (Guest) on August 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on August 3, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Andrew Mchome (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 19, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on May 4, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on April 16, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More