Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kijakazi (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jacob Kiplangat (Guest) on October 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 9, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on September 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on September 1, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on July 12, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nashon (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on May 31, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on January 30, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on January 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chum (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on November 28, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Hassan (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Mchawi (Guest) on November 7, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on October 31, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nora Lowassa (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 8, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on July 16, 2018

Asante Ackyshine

Francis Mrope (Guest) on July 4, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on July 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 9, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on April 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 9, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on March 10, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on March 3, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mwanaidha (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Muslima (Guest) on November 25, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hekima (Guest) on November 21, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joy Wacera (Guest) on November 19, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zawadi (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Susan Wangari (Guest) on October 24, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on October 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on October 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Malisa (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on September 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Richard Mulwa (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More