Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mustafa (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issa (Guest) on May 11, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on March 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sarah Karani (Guest) on March 16, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Lissu (Guest) on January 23, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ann Awino (Guest) on January 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on December 29, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on December 20, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on December 13, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

David Kawawa (Guest) on November 29, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mrope (Guest) on November 9, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on November 7, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on November 3, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Kangethe (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on October 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on September 7, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chum (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Sumari (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Daudi (Guest) on August 16, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Mchome (Guest) on August 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Kidata (Guest) on August 15, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on July 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on July 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 1, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Musyoka (Guest) on June 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on April 29, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Khalifa (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 18, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on April 7, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on January 21, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Kazija (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on December 31, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on November 10, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kimario (Guest) on November 9, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Mallya (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on October 10, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Salima (Guest) on September 27, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on September 20, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on September 12, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Shabani (Guest) on July 24, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daudi (Guest) on July 19, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on May 11, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More