Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shamim (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on June 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Kamau (Guest) on May 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hekima (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mtangi (Guest) on March 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Wangui (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on January 20, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khamis (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kimario (Guest) on December 18, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 22, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on July 20, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Elizabeth Malima (Guest) on June 16, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on June 4, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maulid (Guest) on May 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Akinyi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on April 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on March 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on January 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on November 21, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hashim (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Otieno (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 20, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on September 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Mwinuka (Guest) on August 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kheri (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 10, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Khamis (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on May 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More