Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Azima (Guest) on June 19, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Catherine Naliaka (Guest) on June 18, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Umi (Guest) on June 16, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 15, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on May 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on April 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Jackson Makori (Guest) on April 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 20, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rukia (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Sumari (Guest) on February 18, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Martin Otieno (Guest) on January 30, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on January 14, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rashid (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on December 23, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on November 9, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2019

😊🀣πŸ”₯

George Wanjala (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwakisu (Guest) on October 15, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 9, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 6, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Malima (Guest) on September 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on September 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on August 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on August 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edward Lowassa (Guest) on April 30, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on April 26, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on April 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on March 12, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Tambwe (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Mrope (Guest) on February 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nchi (Guest) on February 15, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sharifa (Guest) on January 26, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Miriam Mchome (Guest) on January 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Akinyi (Guest) on November 13, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on September 25, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Charles Mrope (Guest) on August 27, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 23, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Muthoni (Guest) on August 12, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rahim (Guest) on July 14, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Zubeida (Guest) on July 4, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Frank Sokoine (Guest) on June 2, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 13, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Kibwana (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on March 23, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabitha Okumu (Guest) on December 27, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Warda (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More