Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia.
MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje?
MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa.
MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daudi (Guest) on July 23, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on July 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jabir (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Kiwanga (Guest) on June 7, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 3, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Moses Mwita (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Raha (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Njeri (Guest) on March 12, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on February 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on January 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 5, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sultan (Guest) on December 26, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on December 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on November 29, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elijah Mutua (Guest) on November 7, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Mahiga (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Susan Wangari (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kenneth Murithi (Guest) on October 11, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 12, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Farida (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Ochieng (Guest) on August 11, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 31, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on July 24, 2018

😊🀣πŸ”₯

Jamila (Guest) on July 10, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Aziza (Guest) on May 29, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Kibona (Guest) on May 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on May 9, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on April 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mariam (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on February 22, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on February 2, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ann Wambui (Guest) on January 18, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tabitha Okumu (Guest) on January 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on December 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on December 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on December 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Sofia (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Mligo (Guest) on December 7, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Abdillah (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Mligo (Guest) on November 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Leila (Guest) on November 3, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Aoko (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Daudi (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Elizabeth Malima (Guest) on September 11, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on September 9, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Shamsa (Guest) on August 30, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on August 7, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on July 23, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on June 30, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on May 14, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 9, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 3, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More