Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"

Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti."
Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!"

Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Wanjiku (Guest) on October 9, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on September 30, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on September 29, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Omar (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 15, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 7, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on July 20, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Baridi (Guest) on July 15, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Wanyama (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kahina (Guest) on June 16, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on June 8, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 30, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on May 28, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on May 15, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Fadhili (Guest) on April 18, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ruth Wanjiku (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Musyoka (Guest) on February 13, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on February 13, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Husna (Guest) on February 1, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 29, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Agnes Njeri (Guest) on December 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 18, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on December 13, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Salum (Guest) on November 30, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Francis Mtangi (Guest) on November 30, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on November 17, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Edward Chepkoech (Guest) on October 18, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Sokoine (Guest) on October 8, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hellen Nduta (Guest) on August 22, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on August 2, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on July 14, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on May 31, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on April 13, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 5, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on February 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nahida (Guest) on February 21, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on February 1, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on January 10, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 7, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on December 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on November 20, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Kimario (Guest) on November 14, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on November 13, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Jebet (Guest) on October 24, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on October 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on September 24, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on September 2, 2017

🀣πŸ”₯😊

Mwanaisha (Guest) on August 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 2, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Philip Nyaga (Guest) on July 18, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on July 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Malisa (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Related Posts

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More