Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hassan (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on September 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Issack (Guest) on July 28, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Njeru (Guest) on July 26, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on July 20, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 16, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 13, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 6, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mgeni (Guest) on April 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 11, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on April 8, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 27, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on November 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 6, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on October 24, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 20, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Christopher Oloo (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Frank Macha (Guest) on August 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on July 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on April 6, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on March 31, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Biashara (Guest) on March 29, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

John Lissu (Guest) on March 22, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Chris Okello (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on March 3, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 10, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on November 29, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on October 20, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on October 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on October 5, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kevin Maina (Guest) on September 14, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Josephine (Guest) on August 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on August 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on July 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More