Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Kendi (Guest) on December 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on November 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 18, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on October 16, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kikwete (Guest) on August 6, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Makena (Guest) on July 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 16, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mushi (Guest) on June 18, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on May 15, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 3, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rahim (Guest) on April 18, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Otieno (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Philip Nyaga (Guest) on March 26, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on March 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 6, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine (Guest) on February 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Brian Karanja (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Daniel Obura (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Khadija (Guest) on January 21, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 22, 2018

🀣πŸ”₯😊

Chiku (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Kenneth Murithi (Guest) on November 14, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ann Wambui (Guest) on October 28, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rehema (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Wafula (Guest) on October 15, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on October 7, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on October 6, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on September 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on September 25, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Brian Karanja (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on August 2, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on July 29, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 19, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Mallya (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Leila (Guest) on May 21, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nassar (Guest) on May 12, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mallya (Guest) on May 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 20, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 1, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 28, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 27, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 23, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Kitine (Guest) on March 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on February 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on February 21, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwagonda (Guest) on February 16, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on October 17, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Yusra (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mtaki (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More