Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mjaka (Guest) on October 18, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on September 20, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Issack (Guest) on August 17, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on June 24, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on June 24, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Kidata (Guest) on June 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on June 11, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on June 2, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on May 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Umi (Guest) on May 24, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anna Sumari (Guest) on April 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mzee (Guest) on March 31, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on March 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on December 23, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hekima (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Baridi (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zakaria (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Mligo (Guest) on July 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Simon Kiprono (Guest) on April 18, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on March 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on March 4, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 26, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on February 14, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on February 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on December 28, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Kawawa (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zubeida (Guest) on November 13, 2017

Asante Ackyshine

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on October 1, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Kazija (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Karani (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More