Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Njuguna (Guest) on September 3, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Azima (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 4, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Jebet (Guest) on August 1, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Chum (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Diana Mumbua (Guest) on July 22, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jamal (Guest) on July 18, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on July 18, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salma (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mjaka (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Sokoine (Guest) on May 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on April 16, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Josephine Nduta (Guest) on April 10, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mwafirika (Guest) on April 10, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on April 7, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Michael Mboya (Guest) on April 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on March 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Habiba (Guest) on March 23, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Paul Kamau (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on January 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Mwinuka (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Frank Macha (Guest) on October 16, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mchawi (Guest) on September 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on August 12, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwafirika (Guest) on August 11, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Mwangi (Guest) on July 15, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on May 28, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 18, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 12, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on April 2, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Emily Chepngeno (Guest) on February 21, 2018

😊🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kawawa (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 21, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Kheri (Guest) on December 30, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Wangui (Guest) on December 21, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Mushi (Guest) on November 26, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Okello (Guest) on November 25, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on November 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Ndungu (Guest) on September 14, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sharifa (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kabura (Guest) on April 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rukia (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on March 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Related Posts

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More