Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mwizi kawezwa ki kwelii

Featured Image

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hta hela ya kula Jana sikua nayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humu? sipendagi ujinga🚢🏻 na kitu hela mm!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on December 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on November 17, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Khadija (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Ochieng (Guest) on November 6, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on October 28, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Latifa (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Mchome (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on September 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on September 6, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Daniel Obura (Guest) on August 19, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on August 10, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on July 11, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Baraka (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Sumari (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mary Kendi (Guest) on May 29, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kijakazi (Guest) on May 21, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 9, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kabura (Guest) on March 30, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on March 7, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on January 20, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on January 6, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mwajabu (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Kimani (Guest) on January 4, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on December 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Bahati (Guest) on December 18, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on December 14, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 17, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Neema (Guest) on October 18, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jane Malecela (Guest) on September 27, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on September 21, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on July 23, 2018

😊🀣πŸ”₯

Jafari (Guest) on July 20, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Malela (Guest) on June 26, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Mahiga (Guest) on June 12, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Frank Macha (Guest) on June 5, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 31, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on May 23, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on May 6, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on April 25, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Baraka (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Majid (Guest) on February 3, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Jebet (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on January 20, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Raphael Okoth (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Neema (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on January 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

John Lissu (Guest) on December 1, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 11, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Linda Karimi (Guest) on September 13, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 11, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on August 28, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Fadhili (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Margaret Mahiga (Guest) on August 1, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Amir (Guest) on July 29, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Kimani (Guest) on July 8, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More