Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waume akapita kushoto akajikuta ametokea mtaani

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Tujifunze kutoa wandugu

*hatupendagi ujinga sisi*
🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿🚢🏿

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daniel Obura (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on August 11, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Mchome (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on June 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kiza (Guest) on June 16, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on June 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 6, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 25, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on May 24, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on May 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 29, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Peter Mbise (Guest) on April 16, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on April 6, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fatuma (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Kiwanga (Guest) on February 22, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on February 19, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kiwanga (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on February 14, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Kibona (Guest) on January 28, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 19, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on December 14, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2018

Asante Ackyshine

Peter Mwambui (Guest) on November 28, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 3, 2018

😊🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on August 28, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on August 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mgeni (Guest) on July 22, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Emily Chepngeno (Guest) on July 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on May 24, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 26, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rose Waithera (Guest) on January 22, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Maimuna (Guest) on December 22, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Samuel Omondi (Guest) on December 16, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ahmed (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Mligo (Guest) on December 10, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Mligo (Guest) on December 2, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Amir (Guest) on October 31, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

John Lissu (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwanakhamis (Guest) on September 9, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on August 18, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kheri (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 21, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on June 2, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on May 24, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Lowassa (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Miriam Mchome (Guest) on May 13, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Wanjala (Guest) on April 16, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nancy Kawawa (Guest) on April 5, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More