Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Featured Image

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya kadi kuchapwa na kusambazwa!

Mchapaji aliombwa aweke 1 Yohana 4:18 katika kadi ya harusi lakini mchapaji kwa makosa aliweka Yohana 4:18.

1 Yohana 4:18 panasema, "Katika pendo hakuna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu…"

Lakini Yohana 4:18 tunasoma, "Kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako."

πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚_MKE MTARAJIWA AKAZIMIA HAPA, TUNAMPEPEA_

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on August 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on July 31, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on July 25, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Neema (Guest) on July 19, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on June 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 22, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Leila (Guest) on April 12, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Raphael Okoth (Guest) on April 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on March 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 20, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Tambwe (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwalimu (Guest) on February 22, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Kimotho (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on January 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Lowassa (Guest) on December 4, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Alex Nyamweya (Guest) on November 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mashaka (Guest) on October 14, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on September 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on September 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Chacha (Guest) on September 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mahiga (Guest) on August 21, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Mugendi (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Bernard Oduor (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 8, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on April 25, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rahma (Guest) on April 1, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mushi (Guest) on March 28, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on March 10, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on March 7, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on March 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on March 2, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Maulid (Guest) on February 12, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on January 14, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on January 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on January 2, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Fadhili (Guest) on December 14, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on December 11, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Abdullah (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Michael Onyango (Guest) on August 2, 2017

Asante Ackyshine

Kazija (Guest) on July 24, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on May 30, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Nyerere (Guest) on May 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Kiza (Guest) on May 22, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mjaka (Guest) on April 30, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Leila (Guest) on April 5, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on March 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More