Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on September 16, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Victor Sokoine (Guest) on September 16, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Halima (Guest) on September 15, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on September 2, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on August 18, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on July 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bakari (Guest) on May 14, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Janet Mbithe (Guest) on April 27, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on March 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on March 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Victor Malima (Guest) on February 21, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mchuma (Guest) on February 19, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on February 19, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Omari (Guest) on February 2, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Ndungu (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on January 26, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on December 26, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on December 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on December 20, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 14, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on October 31, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on October 17, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Akumu (Guest) on October 1, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 29, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mrema (Guest) on August 19, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on August 8, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on July 10, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on June 17, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on June 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on June 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on May 12, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on May 1, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Zawadi (Guest) on April 13, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Faiza (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Shamsa (Guest) on February 25, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on February 9, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mustafa (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Njuguna (Guest) on January 8, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salima (Guest) on December 28, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Andrew Mahiga (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on December 8, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mashaka (Guest) on November 2, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 27, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on October 23, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More