Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kazija (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mtumwa (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Kitine (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Muslima (Guest) on August 23, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on August 21, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 22, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Benjamin Masanja (Guest) on June 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on June 1, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on May 12, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on April 29, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

James Kawawa (Guest) on April 24, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on April 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ibrahim (Guest) on April 3, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Paul Kamau (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on March 29, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Hekima (Guest) on March 11, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Martin Otieno (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on February 21, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on February 8, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bahati (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Mwikali (Guest) on January 3, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on November 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on November 15, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Chris Okello (Guest) on October 20, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on September 30, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on September 10, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on August 20, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on July 14, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sarah Achieng (Guest) on July 12, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Faith Kariuki (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Fikiri (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Brian Karanja (Guest) on May 9, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mariam (Guest) on April 22, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Akinyi (Guest) on April 21, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 5, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Abdullah (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Catherine Naliaka (Guest) on March 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on February 1, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 25, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Mushi (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nancy Kawawa (Guest) on January 10, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Issack (Guest) on January 3, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Tenga (Guest) on January 1, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Jebet (Guest) on December 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on December 20, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Were (Guest) on December 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Baraka (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Lucy Kimotho (Guest) on October 6, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Wande (Guest) on September 13, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Awino (Guest) on August 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nasra (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mzee (Guest) on August 21, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Mwikali (Guest) on July 10, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More