Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Kimario (Guest) on July 29, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Alice Mwikali (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

David Sokoine (Guest) on July 6, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Tambwe (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hekima (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Neema (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Mbise (Guest) on May 2, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on March 13, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on February 3, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on January 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on January 11, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Latifa (Guest) on December 20, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Malima (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Kidata (Guest) on October 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Zainab (Guest) on October 10, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on September 7, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sultan (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 1, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 31, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Josephine Nekesa (Guest) on July 30, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

John Mwangi (Guest) on June 29, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on May 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 27, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on April 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Salum (Guest) on March 31, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on February 25, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Rubea (Guest) on January 4, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2017

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on October 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 13, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Njuguna (Guest) on October 5, 2017

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on October 4, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Abubakari (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Michael Mboya (Guest) on September 21, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on August 30, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zulekha (Guest) on August 28, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on July 22, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on June 17, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More