Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on July 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Kawawa (Guest) on May 19, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on April 24, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 26, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Martin Otieno (Guest) on February 27, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on January 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 20, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on September 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on June 27, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 19, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Kidata (Guest) on June 3, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 12, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 17, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Kimani (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Monica Lissu (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on March 2, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Salma (Guest) on February 27, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 10, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on December 18, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 29, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rahim (Guest) on October 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sultan (Guest) on September 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakia (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on June 5, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More