Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on February 18, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on January 26, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Mallya (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 6, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kiza (Guest) on October 20, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Mchome (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on August 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Mallya (Guest) on August 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mahiga (Guest) on August 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on August 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on July 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on June 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on May 29, 2021

Asante Ackyshine

Stephen Malecela (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Tabu (Guest) on May 22, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on May 14, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Makena (Guest) on April 22, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on April 4, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on February 17, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Yusuf (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on January 13, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Masika (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 21, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sultan (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Abdillah (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mahiga (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on November 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 28, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Saidi (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 2, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on August 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on April 3, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kawawa (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jamila (Guest) on March 13, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Chacha (Guest) on March 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on February 8, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mwangi (Guest) on January 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on December 24, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Amani (Guest) on December 21, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More