Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: we nani kwani?
Polisi::: sisi polisi
Jamaa::: mnataka nini?





Polisi::: kuongea na wewe
Jamaa::: kuongea na mimi?!
Polisi::: ndio
Jamaa::: mko wangapi?
Polisi::: tuko watatu
Jamaa::: kama mko watatu si muongee wenyewe…!!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zakaria (Guest) on November 9, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on November 9, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rabia (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on November 7, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Sokoine (Guest) on October 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mtumwa (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on September 3, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Mugendi (Guest) on September 2, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kangethe (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Malima (Guest) on August 21, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on August 9, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on August 7, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raphael Okoth (Guest) on July 14, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jafari (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on June 27, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Issa (Guest) on May 15, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jane Muthoni (Guest) on May 12, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Diana Mumbua (Guest) on May 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lydia Wanyama (Guest) on April 24, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on April 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 20, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 13, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Zawadi (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on April 2, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on March 21, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on March 5, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Mallya (Guest) on February 2, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on January 9, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 4, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Edward Lowassa (Guest) on January 4, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on January 4, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 9, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elijah Mutua (Guest) on November 8, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on October 28, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Richard Mulwa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Agnes Njeri (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 8, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Abdullah (Guest) on August 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Margaret Anyango (Guest) on August 5, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joseph Kitine (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on July 11, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on July 10, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on July 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on May 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on April 30, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on April 28, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More