Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Featured Image

Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,





mwanao anakupigia simu baba/mama mimi mzima sijafa mpenzi wangu ABDUL aliniambia nishuke Chalinze ili niwe nae kwa siku mbili alafu niende shule je, wewe mzazi unge mfanyaje mwanao?


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Kimaro (Guest) on March 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on March 25, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 14, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on February 1, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on January 21, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 22, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on November 17, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Muslima (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Wilson Ombati (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on October 22, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Elizabeth Mrema (Guest) on October 9, 2021

Asante Ackyshine

Henry Mollel (Guest) on September 25, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Janet Mwikali (Guest) on September 14, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salima (Guest) on August 16, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on July 10, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Musyoka (Guest) on June 10, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Andrew Mchome (Guest) on June 3, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 18, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on May 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on March 23, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Michael Onyango (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Jebet (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Irene Akoth (Guest) on January 25, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 18, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 7, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on November 26, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mariam Kawawa (Guest) on November 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on October 14, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on October 8, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on October 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on October 6, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on September 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 17, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 17, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Charles Mchome (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on August 14, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Patrick Kidata (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 28, 2020

😊🀣πŸ”₯

Esther Nyambura (Guest) on March 23, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on March 11, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 23, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Njeri (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Alex Nakitare (Guest) on December 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on November 17, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More