Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze





4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ndoto (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

James Kawawa (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jackson Makori (Guest) on June 14, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nyota (Guest) on June 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Kidata (Guest) on May 28, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Leila (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mariam (Guest) on May 4, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 1, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nassor (Guest) on January 17, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rahma (Guest) on December 8, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Muslima (Guest) on November 25, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on October 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on October 19, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hawa (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edith Cherotich (Guest) on September 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on September 12, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hekima (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Umi (Guest) on August 23, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on August 6, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on June 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Tabu (Guest) on May 18, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Miriam Mchome (Guest) on May 16, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Zakaria (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on April 25, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarafina (Guest) on March 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 25, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on January 17, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Athumani (Guest) on January 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on January 5, 2021

Asante Ackyshine

Janet Wambura (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 6, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on September 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faith Kariuki (Guest) on September 23, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on August 1, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Musyoka (Guest) on July 8, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Mwinyi (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Zainab (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More