Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Chepkoech (Guest) on March 4, 2022

😊🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 16, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumari (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Mwambui (Guest) on January 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on December 25, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nashon (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on September 30, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on September 6, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Habiba (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Asha (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 1, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alex Nyamweya (Guest) on April 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on March 25, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on March 15, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on February 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Wanyama (Guest) on February 2, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 22, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on January 1, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Khamis (Guest) on November 9, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on November 5, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Salum (Guest) on October 14, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 11, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Christopher Oloo (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on September 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 8, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sharifa (Guest) on August 1, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anna Kibwana (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 13, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kassim (Guest) on April 21, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on March 26, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 13, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on February 13, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ahmed (Guest) on February 8, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mustafa (Guest) on December 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwanahawa (Guest) on December 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More