Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joy Wacera (Guest) on May 30, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on May 22, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on April 27, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 23, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ahmed (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nduta (Guest) on April 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on March 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Mtangi (Guest) on March 28, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Majid (Guest) on March 2, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Salum (Guest) on February 9, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mchawi (Guest) on February 2, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 6, 2022

😊🀣πŸ”₯

Paul Kamau (Guest) on December 13, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on December 8, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on November 27, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on November 12, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on November 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Yahya (Guest) on October 20, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Latifa (Guest) on October 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mrope (Guest) on October 11, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Andrew Mahiga (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Shabani (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 18, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on July 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mhina (Guest) on June 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on June 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Patrick Akech (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Selemani (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwachumu (Guest) on May 11, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

George Tenga (Guest) on April 3, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Margaret Anyango (Guest) on March 18, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mumbua (Guest) on December 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Amollo (Guest) on October 29, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 10, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 7, 2020

Asante Ackyshine

Francis Njeru (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on August 21, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on August 21, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Yusra (Guest) on August 16, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nasra (Guest) on August 8, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on June 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 31, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sultan (Guest) on May 27, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More