Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Wairimu (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on June 2, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zainab (Guest) on March 14, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Samson Mahiga (Guest) on March 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ann Awino (Guest) on February 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Umi (Guest) on January 20, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwakisu (Guest) on December 19, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Rose Kiwanga (Guest) on December 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Raha (Guest) on December 6, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Ndungu (Guest) on December 3, 2021

Asante Ackyshine

Omari (Guest) on November 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Mushi (Guest) on October 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on September 16, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Athumani (Guest) on August 6, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Margaret Anyango (Guest) on July 24, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 20, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 24, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ahmed (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on March 31, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 18, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Wande (Guest) on January 29, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Samuel Omondi (Guest) on January 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 17, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on January 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chiku (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mwanais (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 25, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on November 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mchawi (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mariam Hassan (Guest) on September 22, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on July 29, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 6, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on May 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on May 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daudi (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Martin Otieno (Guest) on April 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 13, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jabir (Guest) on January 23, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on November 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on November 21, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on November 19, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on November 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on November 6, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on October 7, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Sumaya (Guest) on September 5, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on August 1, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Related Posts

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo