Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zawadi (Guest) on March 14, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Jane Malecela (Guest) on February 28, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on February 16, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 11, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on February 10, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on January 3, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaidi (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwagonda (Guest) on October 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Janet Mbithe (Guest) on October 10, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on September 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on September 3, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 18, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on August 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Baridi (Guest) on August 16, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on July 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Jamila (Guest) on July 22, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Omondi (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Shani (Guest) on June 19, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Omar (Guest) on May 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Malima (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on April 18, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on April 1, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Catherine Mkumbo (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nora Kidata (Guest) on February 5, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Masika (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Khatib (Guest) on December 29, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on December 8, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on November 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 28, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Habiba (Guest) on October 13, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Brian Karanja (Guest) on October 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 1, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on September 16, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Fadhila (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Janet Wambura (Guest) on September 1, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Robert Ndunguru (Guest) on August 25, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Victor Mwalimu (Guest) on August 10, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on July 28, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mtangi (Guest) on June 25, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 20, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 11, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on March 18, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Kawawa (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on February 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on January 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on January 21, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Bakari (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on December 31, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Michael Onyango (Guest) on December 17, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on December 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More