Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Habiba (Guest) on May 11, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nashon (Guest) on April 27, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Mboya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on April 20, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on April 14, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Juma (Guest) on April 8, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Fadhila (Guest) on March 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on February 22, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on February 9, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Umi (Guest) on January 28, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on January 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on December 31, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on November 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joyce Mussa (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Mutua (Guest) on October 20, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on October 2, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on September 28, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwanaidi (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on August 24, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on August 19, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on August 9, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rahim (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Arifa (Guest) on July 24, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on July 13, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 30, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on June 22, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Warda (Guest) on June 17, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ann Wambui (Guest) on June 16, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on May 27, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on May 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on March 19, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 4, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rubea (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Abubakar (Guest) on July 23, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Francis Njeru (Guest) on June 26, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

John Malisa (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on June 19, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Kidata (Guest) on June 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on May 14, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on April 24, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Irene Makena (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nora Lowassa (Guest) on March 12, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on March 2, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 9, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More