Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Habiba (Guest) on May 11, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nashon (Guest) on April 27, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Mboya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on April 20, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on April 14, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Juma (Guest) on April 8, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Fadhila (Guest) on March 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on February 22, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on February 9, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Umi (Guest) on January 28, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on January 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on December 31, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on November 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joyce Mussa (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Mutua (Guest) on October 20, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on October 2, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on September 28, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwanaidi (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on August 24, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on August 19, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on August 9, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rahim (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Arifa (Guest) on July 24, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on July 13, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 30, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on June 22, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Warda (Guest) on June 17, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ann Wambui (Guest) on June 16, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on May 27, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on May 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on March 19, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 4, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rubea (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Abubakar (Guest) on July 23, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Francis Njeru (Guest) on June 26, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

John Malisa (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on June 19, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Kidata (Guest) on June 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on May 14, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on April 24, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Irene Makena (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nora Lowassa (Guest) on March 12, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on March 2, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 9, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More