Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Kawawa (Guest) on December 25, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Kahina (Guest) on December 15, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mchawi (Guest) on December 15, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on November 27, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sekela (Guest) on November 11, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ramadhan (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Mchome (Guest) on October 18, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on October 10, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Sarah Karani (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on September 30, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on September 28, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on September 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on September 9, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Rose Amukowa (Guest) on September 3, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on September 1, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on August 16, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Mchome (Guest) on July 5, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on July 5, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on June 23, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Amukowa (Guest) on June 15, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on June 14, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 15, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on May 14, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Mgeni (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Hassan (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nchi (Guest) on March 10, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Chris Okello (Guest) on February 4, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 29, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on December 31, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Chiku (Guest) on December 24, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Amukowa (Guest) on December 23, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on November 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on October 24, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on October 22, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nashon (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Moses Mwita (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on July 29, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Betty Akinyi (Guest) on July 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Sokoine (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 17, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on June 18, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Malima (Guest) on June 14, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on March 30, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on March 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on March 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on February 26, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Joseph Kitine (Guest) on February 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on February 9, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 6, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More