Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hekima (Guest) on March 10, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on February 23, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on December 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on November 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rose Mwinuka (Guest) on November 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mrema (Guest) on October 3, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on September 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on September 9, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alex Nakitare (Guest) on August 30, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on July 9, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on June 29, 2021

🀣πŸ”₯😊

Catherine Naliaka (Guest) on June 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 3, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chris Okello (Guest) on May 10, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Wambura (Guest) on May 2, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Mduma (Guest) on April 12, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on March 19, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on March 12, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on January 27, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

John Mushi (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on January 3, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on December 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 23, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on December 5, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on December 5, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on October 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Muslima (Guest) on October 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 27, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on September 2, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwachumu (Guest) on August 17, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 10, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on June 15, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nchi (Guest) on June 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Malecela (Guest) on April 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Biashara (Guest) on April 23, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 13, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on March 18, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on March 18, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on February 18, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Hawa (Guest) on December 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Sumari (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on December 6, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on November 29, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fikiri (Guest) on November 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chiku (Guest) on November 4, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More