Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumuua nyoka huyo isipokuwa akiji uma mwenye ndo anaweza kufa, wanasayansi hao walieleza japo uchunguz zaid bado unaendelea… huyu ni nyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea katika historia ya maisha ya mwanadam..

nyoka huyu hupatikana katika simu pekee za nokia toch katika sehem ya game inaitwa snake xenzia..

asanteni kwa kufurah na umakin mkubwa katika usomaji wa matini hii…

haya ni mambo ya wikiend jaman na iwe njema kwenu wote

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sofia (Guest) on May 6, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on May 4, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 28, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on January 31, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on December 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Stephen Kangethe (Guest) on December 12, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Raphael Okoth (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Mushi (Guest) on October 9, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on October 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on September 27, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on September 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Latifa (Guest) on August 28, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Ndomba (Guest) on August 11, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Issa (Guest) on July 27, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Saidi (Guest) on July 15, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 14, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Philip Nyaga (Guest) on June 20, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on April 20, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 16, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on January 11, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 9, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on January 2, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 28, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on December 21, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on December 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Jane Muthoni (Guest) on November 16, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sarafina (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on October 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Andrew Mahiga (Guest) on October 20, 2020

😊🀣πŸ”₯

Paul Ndomba (Guest) on October 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 4, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Henry Mollel (Guest) on August 12, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on July 18, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on May 31, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on May 6, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Malisa (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nuru (Guest) on April 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Selemani (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on December 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Mrema (Guest) on December 14, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 9, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Furaha (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Shabani (Guest) on October 9, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Faiza (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on September 12, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on July 5, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on June 27, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Wanjala (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More