Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Lissu (Guest) on March 6, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ali (Guest) on February 7, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on January 23, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mashaka (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 23, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Mahiga (Guest) on December 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchawi (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 10, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zuhura (Guest) on October 28, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam (Guest) on October 10, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joyce Aoko (Guest) on October 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on October 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on September 23, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Mahiga (Guest) on August 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on August 2, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on July 24, 2021

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on June 27, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 21, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 4, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Janet Sumaye (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jamila (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mercy Atieno (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kiza (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on April 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Habiba (Guest) on March 27, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Raphael Okoth (Guest) on March 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Amir (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Kimario (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on November 14, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Hassan (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Frank Macha (Guest) on August 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 12, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 29, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on July 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on June 21, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

George Mallya (Guest) on June 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on May 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwafirika (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on April 12, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More