Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on June 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sarah Mbise (Guest) on June 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Guest (Guest) on June 7, 2026

Kwel

Halima (Guest) on May 26, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 22, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on April 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on March 27, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on February 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kiza (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Issa (Guest) on February 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 5, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on January 16, 2026

NDIO MNAJUA SANA 2

Mzee (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on November 16, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jaffar (Guest) on October 15, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on September 28, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Faith Kariuki (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Sokoine (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamal (Guest) on September 10, 2023

Asante Ackyshine

Mwanaidi (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 27, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joy Wacera (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on February 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on February 6, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on January 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 19, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 20, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Sumari (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 15, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Neema (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Vincent Mwangangi (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More